Nadharia na Mfumo wa Kujumuisha Jinsia Zote
Mwongozo wa Kugeuza Nadharia kuwa Vitendo

Mwongozo wa Nadharia na Mfumo wa Kujumuisha Jinsia Zote (GIFT) ni njia rahisi na zana ya kina inayowezesha kujumuisha uchambuzi wa kijinsia katika uundaji wa mradi. Kwa sababu kazi ya kudumisha amani inategemea muktadha, GIFT inaweka mbele njia tatu za uchambuzi wa kijinsia-mtazamo wa Wanawake, Amani na Usalama; mtazamo wa Uume wenye Amani; na mtazamo wa Utambulisho Ingiliani-ambazo zote zinaangizia mabadiliko ya kijinsia katika mazingira fulani ili kutengeneza vyema miradi ya kudumisha amani.

Utangulizi: Kuanzisha Miradi ya Kujumuisha Jinsia Zote     

Mgogoro wa vurugu inavuruga na mara nyingi kuweka uhasama katika jamii—unachafua miundo ya kijamii, hususan katika majukumu na uhusiano kati ya wanaume na wanawake. Katika mazingira dhaifu na yaliyoathiriwa na mgogoro, watekelezaji wa amani ni sharti wazingatie waendeshaji na athari za jamii zilizogawanyika kwa vurugu. Ongezeko la kufanya vijana kuwa wanajeshi haramu ni chanzo moja, na vurugu ya kijinsia iliyoenea inaathiri wote katika jamii, hata baada ya vurugu kuisha. Hata hivyo, uchambuzi wa kijinsia hautiwi maanani au haujumuishwi sana katika uundaji wa mradi wa kuzuia wa vurugu na kazi ya kukabiliana. Kuanzisha mradi wa kujumuisha jinsia zote ni muhimu katika kuunda njia bora za kuzuia mgogoro wa vurugu na kudumisha amani—sio jambo lisilo muhimuna halipaswi kuwazwa baadaye. 1 Nadharia na Mfumo wa Kujumuisha Jinsia Zote (GIFT) ni njia rahisi lakini ya kina ya kuanza kujumuisha uchambuzi wa kijinsia katika uundaji wa miradi.

GIFT

  • Itafafanua jinsia;
  • Itaeleza uhusiano kati ya jinsia na hali ya vurugu na umuhimu wake katika kudumisha amani;
  • Itachunguza nadharia ya mabadiliko na mfumo wa uchambuzi kwa kujumuisha jinsia zote na
  • Utatoa mwongozo maalum kuhusu kujumuisha jinsia katika muundo wa mradi.
     

Related Publications

The Latest @ USIP: Reclaiming Human Rights in Afghanistan

The Latest @ USIP: Reclaiming Human Rights in Afghanistan

Wednesday, April 17, 2024

By: Fatima Gailani

Since taking power in 2021, the Taliban have imposed their own interpretation of Islamic law onto the people of Afghanistan and consistently rolled back human rights protections — especially for women and girls — all while the country struggles to recover from decades of conflict and economic crisis. USIP spoke with Fatima Gailani, the former president of the Afghan Red Crescent Society, about the various ways Afghans can put pressure on the Taliban to reclaim their rights and demand a better future.

Type: Blog

GenderHuman Rights

The Latest @ USIP: How Civil Society is Addressing Haiti’s Crisis

The Latest @ USIP: How Civil Society is Addressing Haiti’s Crisis

Monday, March 25, 2024

By: Dr. Marie-Marcelle Deschamps

In the past few years, life in Haiti has been dominated by gangs’ growing control over huge swathes of the capital, Port-au-Prince. For Haitian families, this crisis has meant extreme violence, pervasive unemployment, lack of education for children and reduced access to health care. 2023 Women Building Peace Award finalist Dr. Marie-Marcelle Deschamps serves as the deputy executive director, the head of the women's health program and the manager of the clinical research unit of GHESKIO Centers in Port-au-Prince. She spoke to USIP about how her work helps women and their families, and what the global community can do to help Haitian civil society address this devastating humanitarian crisis.

Type: Blog

Conflict Analysis & PreventionGender

Addressing Gendered Violence in Papua New Guinea: Opportunities and Options

Addressing Gendered Violence in Papua New Guinea: Opportunities and Options

Thursday, March 7, 2024

By: Negar Ashtari Abay, Ph.D.;  Kathleen Kuehnast, Ph.D.;  Gordon Peake, Ph.D.;  Melissa Demian, Ph.D.

Each year, more than 1.5 million women and girls in Papua New Guinea experience gender-based violence tied to intercommunal conflict, political intimidation, domestic abuse, and other causes. It is, according to a 2023 Human Rights Watch report, “one of the most dangerous places to be a woman or girl.” Bleak as this may seem, it is not hopeless. USIP’s new report identifies several promising approaches for peacebuilding programming to reduce gender-based violence and effect meaningful and lasting change in Papua New Guinea.

Type: Special Report

Gender

The Challenges Facing Afghans with Disabilities

The Challenges Facing Afghans with Disabilities

Thursday, February 29, 2024

By: Belquis Ahmadi

In Afghanistan, obtaining accurate data on the number of persons with disabilities — including gender-disaggregated information — has always been a challenging endeavor. But based on the data we do have, it’s clear that more than four decades of violent conflict have left a considerable portion of the Afghan population grappling with various forms of disabilities, both war-related and otherwise. And the pervasive lack of protective mechanisms, social awareness and empathy surrounding disability continue to pose formidable challenges for individuals with disabilities, with women being disproportionately affected.

Type: Analysis

GenderHuman Rights

View All Publications